Saturday, November 28, 2015

November 27 mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee vitu vitatu exclusive usivyovifahamu kutoka kwa staa wa soka wa Tanzania aliyewahi kutamba na vilabu vya Simba na Yanga Danny Mrwanda, wengi tumezoea kumsikia na kumuona akipachika magoli uwanjani ila November 27 ana majibu matatu kuhusu maisha yake ya soka.
1- Kama ulikuwa hufahamu Danny Mrwanda aliwahi kuacha shule na kuelekeza nguvu zake katika soka baada ya kumaliza kidato cha sita hivyo baba na mama yake mzazi walichelewa sana kumuelewa na kumuunga mkono kwa uamuzi huo“Nilisoma hadi form six lakini baadae nikaacha kuendelea na shule ili nicheze soka ila naamini nilifanya maamuzi sahihi kwa sababu sikuwahi kujutia ila nikasema mambo yasipoenda vizuri narudi shule ila mambo yalikuwa safi tu”
B15B1MN0413w
2- Aliwahi kuingia katika headlines na kupigwa faini ya Tsh 500,000/= baada ya kutowapa mikono wachezaji wa Simba wakati wa mchezo kati ya Simba dhidi ya Yanga vipi ana bifu na Simba au viongozi? “Mimi mpira ni kazi yangu hivyo sina sababu ya kuwa na chuki na mtu yoyote, kilichotokea pale ni kuwa niliennda kuchukua maji katika benchi lakini niliporudi ndio wenzangu wakawa wamepita wanasalimiana na mimi nikawa nimechelewa”
MRWANDA
3- Kuna wakati alikuwa anavaa jezi namba 9, jezi ambayo mastaa wenzake wa Yanga kama Tambwe na Kpah Sherman waliiacha kuitumia baada ya yeye kuiacha na kuna stori za kuwa jezi hiyo Yanga wachezaji wanaikimbia kwa sababu inaaminika kuwa ina nuksi ni kweli?

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog