Monday, November 9, 2015


Marko Arnautovic akishangilia bao lake la pekee na ushindiMarko Arnautovic dakika ya 53 aliitangulizia bao Stoke City na kufanya bao kuwa 1-0  dhidi ya Chelsea.1-0Ramires akiachia shuti katika kipindi cha kwanza walichokimaliza 0-0VIKOSI:
Stoke City:
Butland, Johnson, Shawcross, Wollscheid, Pieters, Adam, Whelan, Shaqiri, Krkic, Arnautovic, Walters.

Akiba: Ireland, Wilson, Afellay, Diouf, Cameron, Crouch, Haugaard.
Chelsea: Begovic, Azpilicueta, Zouma, Terry, Baba, Ramires, Matic, Pedro, Willian, Hazard, Costa.
Akiba: Fabregas, Oscar, Mikel, Kenedy, Remy, Cahill, Amelia.
Refa: Anthony Taylor


Begovic langonikuokoa jahazi
Makocha wasaidizi Steve Holland (right), Rui Faria na Silvino Louro kwenye benchi wakiendesha Timu leo baada ya Kocha mkuu Jose kufungiwa mechi moja.Mashabiki Hazard kaanza..

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog