Sunday, October 18, 2015



Pascal wawa akichuana na mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. (Picha na Francis Dande).

Kocha wa Yanga, Hans Pruijm akitoa maelekezo kwa Salum Telela.

Mshambuliaji wa Yanga, malimi Busungu akiwatoka wachezaji wa Azam FC.

Beki wa Azan FC, Pascal Wawa akimiliki mpira huku akizongwa na Salum Telela.

Beki wa Azam FC, Agrey Morris akipiga tiktak kuokoa moja ya hatari langoni mwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Sioka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1.

Mshambuliaji wa Azam FC, Himid Mao (kushoto) akichuana na kiungo wa Yanga, Mbuyu Twite wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mashabiki wa Azam FC.

Mashabiki wa Yanga.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog