Friday, June 26, 2015


Morgan Schneiderlin
Manchester United wanajiandaa kutoa kitita cha £24million kumnasa Mchezaji wa Southampton Morgan Schneiderlin.
Mchezaji huyo alikuwa akiwaniwa na Arsenal na Tottenham lakini vyanzo vinaonesha Man United Pekee ndio yenye nafasi nzuri kumnunua mchezaji huyo na taratibu zitakamilia wiki ijayo.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog