Sunday, June 28, 2015


Paraguay wameifunga Brazil usiku huu kwa Mikwaju ya Penati (3-4) kwenye Michezo ya Copa America na Sasa kukutana uso kwa Uso na Argentina Nusu Fainali.Robinho akishangilia bao lake la dakika ya 15 kipindi cha kwanza kwa kuipatia bao 1-0 dhidi ya Paraguay baada ya kupata pasi safi kama kona kutoka kwa Dani Alves. 
Mpaka mapumziko Brazil ilikuwa ikiongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Paraguay. Derlis González dakika ya 72 kipindi cha pili aliisawazishia bao kwa mkwaju wa penati na mtanange kumalizika dakika 90 kwa 1-1 na Mikwaju kupigwa.Shabiki wa Brazil wakiwa tayari kuangalia kipute!Brazil v Paraguay

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog