Tuesday, September 30, 2014


Dakika ya 15 Peter Crouch aliifungia bao la kwanza la kichwa na kuifanya Stoke City kuwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Newcastle baada ya Victor Moses kutoa krosi safi kwa Crouch ambaye ameunga kwa kichwa hadi langoni mwa Newcastle.Kibarua mashakani kwa kocha Pardew! 
Mpaka mapumziko Stoke ndio ilikuwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Newcastle United.Ushindi wa kwanza wa Nyumbani kwa Stoke City msimu huu wakimtungua Newcastle, bao likifunhgwa na Peter Crouch kipindi cha kwanza dakika ya 15 kwa kichwa.
Kocha wa Newcastle Pardew akiwa kwenye Mawazo mazito kipindi cha pili na hapa akiwa nyuma ya bao 1-0 kwenye Uwanja wa Stoke City Britannia.VIKOSI:
Newcastle XI: Krul, Janmaat, Coloccini, Williamson, Dummett, Tiote, Colback, Sissoko, Cabella, Gouffran, Riviere
Stoke XI: Begovic, Bardsley, Shawcross, Wilson, Muniesa, Whelan, Nzonzi, Diouf, Adam, Moses, Crouch

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog