Sunday, December 22, 2013


Bayern Munich wamekamilisha Mwaka mwema wa 2013 kwa kutwaa Taji la Mashindano ya FIFA ya Kombe la Dunia kwa Klabu kwa kuifunga Bao 2-0 Raja Casablanca ya Morocco katika Fainali iliyochezwa Jana Usiku huko Stade de Marrakech, Marrakesh, Nchini Morocco.

Hadi sasa Bayern Munich wanashikilia Mataji ya UEFA CHAMPIONS LIGI, Bundesliga, German Cup na Uefa Super Cup.

Katika Mechi ya kusaka Mshindi wa Tatu iliyochezwa awali kabla Fainali, Atletico Mineiro ya Brazil iliifunga Bao 3-2 Guangzhou Evergrande ya China na Staa wa Brazil Ronaldinho alipewa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 87.

 


 
..

 


 


 
.

Mashabiki

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog