Saturday, October 12, 2013

VODACOM PREMIER LEAGUE: LIVE MATCH - KAGERA SUGAR 1 vs YANGA 2, ..Second Half!


Kikosi cha Kagaera Sugar kilichoanza

Kikosi cha Yanga

Waamuzi wa mtanange huu

Waamuzi na Timu Kapteni wakiteta jambo muda mfupi kabla ya mpira kuanza

Benchi la Yanga kushoto ni Kocha mkuu

Benchi la Kagera Sugar

Dakika ya 2 Mpira ukirushwa kama kona na Kipa kuupangulia kwa adui na Hatimaye Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngassa akafanikiwa kuipatia bao na hapa walikuwa wanashangilia bao hilo. Mpaka Mapunziko Yanga ilikuwa inaongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Wenyeji Kagera Sugar. Habari na www.bukobasports.com

wachezaji wa yanga wakishangilia ushindi

  Yanga wanapofunga kufurahia  goli
  Ushindi..jamani..

  Ngassa


washabiki wa bk

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog