Friday, October 18, 2013

Ommy Dimpoz akikamua ndani ya Dar Live.
...Mashabiki wakipagawa na Dimpoz. Joh Makini 'Mwamba wa Kaskazini' akilishambulia jukwaa la Dar Live. Wanenguaji wa Twanga wakionesha manjonjo. Mwamba wa Kigamboni, Bahati Chaz ‘Mr B’ akishusha mistari ya hip hop Dar Live. Masai wa Kigoma akifanya makamuzi.
Baadhi ya mashabiki baada ya kupandisha mizuka.
Twanga wakikamua stejini.Mwanamuziki wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’ 
Rama Pentagon akikamua na bendi yake.
Mtaalam wa mazingaombwe, Profesa Calabash akiichoma moto fulana.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog