Monday, July 8, 2013



MATUKIO YA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI TAIFA 

 

Baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo katika Tamasha la Usiku wa Matumaini Taifa jana.

 
Msaada kwenye tuta kuhusiana na hii style bado mimi sijaielewa wewe je?

 
Kombe lililokuwa linawaniwa na wabunge wa Yanga na Simba...
Msanii Mboto akicheza kiduku kutokana na wimbo uliokuwa unaimbwa na mzee Yusuph, Msanii huyu jana alicheza sana kiduku mpaka watazamaji wakaacha kumsikiliza mc na kuanza kumshangilia yeye kitendo kichomfanya mshereheshaji huyo kumuomba aache kucheza kwanza..

Wasanii M 2the P akiwa na Bright Job nao wachezaji wa timu ya Bongo Flava baada ya kumaliza mechi yao na Bongo muvi..wakiwa wamevalia matishirt yenye ishara ya kumuenzi msanii mwenzao Mangwea aliyefariki mwishoni mwa mwezi May huko Afrika ya Kusini, pia wasanii wote wa Bongo flava walivalia matisht hayo yaliyoandikwa R.I.P Ngwea

Mchizi Mox, M 2the P na Bright Job Taifa...

Washereheshaji Stive Nyerere  na Mkweli uwanja wa Taifa jana...


Baadhi ya watu waliohudhuria Tamasha la Usiku wa matumaini




 Shangwe baada ya kupata ushindi.....

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog