Najua kuna
watu wangu wanaopenda kufanya matembezi sehemu mbalimbali duniani iwe
kwa issue zao binafsi au hata kwa issue za kibiashara. Lakini ulishawahi
kujiuliza ni viwanja gani vya ndege vyenye mvuto zaidi duniani? na Africa viko vingapi?
Nimekutana na
stori kwenye mitandao ambao wenyewe wamefanya utafiti na kuja na orodha
ya viwanja 10 vya ndege vyenye mvuto wa kipekee kwa mwaka huu wa 2015 haswa ukiwa bado uko angani unakaribia kutua.

Kwenye list upo uwanja wa Queenstown Airport uliyopo New Zealand, uwanja wa McCarran Airport uliopo Las Vegas na uwanja wa Nice Cote D’Azur Airport uliopo Ufaransa. Na kwa Africa upo uwanja wa…!?
Hapa chini
nimekusogezea picha 10 za viwanja vya ndege vyenye mvuto zaidi duniani,
unaweza kuvitazama kujua uwanja gani wa ndege kutoka Africa umeingia.
1. Queenstown Airport, New Zealand.
2. Las Vegas McCarran Airport, United States.
3. Nice Cote D’Azur Airport, France.

4. Barra Airport, Scotland, UK.
5. St. Maarten Airport (Princess Juliana International), Caribbean.
6. Saba Airport (Juancho E Yrausquin), Caribbean Netherlands.
7. Billy Bishop Toronto City Airport, Canada.
8. Gibraltar Airport, UK.
9. London City Airport, UK.
10. Cape Town Airport, South Africa.
Unaambiwa uwanja namba 3 uliingia kwenye hii orodha mwaka 2014, uwanja namba 4 ulikuepo pia kwenye hii orodha mwaka 2013 na uwanja namba 5 ulikuwepo pia kwenye orodha ya viwanja vizuri zaidi duniani mwaka 2012 na hii ni mara ya pili kwa wao kuingia kwenye orodha hii.
RSS Feed
Twitter
4:58 AM
Unknown
















3-1 Fellaini akishangilia bao lake la dakika za nyongeza Old Trafford!
Pongezi!
Depay akipongezwa baada ya kuipatia bao mbili Man United.
Depay akishangilia bao lake
2-1
Carrick alipoteza machungu ya kujifunga hapa!
Mpaka nyavuni!
Chicharito kauanza msimu mpya leo hii...alichukuwa nafasi ya Januzaj kipindi cha pili
Rooney akipambana
Rooney tena"
Rooney hatari kabisa!
Wachezaji wawili wa Club Brugge wakipongezana baada ya kupata bao la zawadi dakika ya 8 kupitia kwa Carrick.
Wachezaji wa Man United wakijiuliza baada ya kutanguliwa bao na wapinzani wao Club brugge
Salaam! 1-0
Carrick alipojimaliza!

Sir Alex Ferguson Ndani Old Trafford
Kikosi cha Man United kilichoanza dhidi ya Club Brugge
Depay kacheza kwa kiwango cha juu na kuipa bao mbili Man United
Mabingwa wa Super Cup 2015 Athletico Bilbao baada ya wakuchapa Mabingwa Barca bao 5-1 usiku huu.
