Rais wa oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO
Yassini Abdalla kushoto akisalimiana na bondia Wang Xin Hua kutoka China
mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius
Nyerere Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wake na mohamed Matumla
utakaofanyika march 27 katika ukumbi wa diamond jubilee katikati ni
Rais wa ngumi za kulipwa nchini PST Emanuel Mlundwa na kulia ni promota
wa mpambano uho Jay Msangi Picha na SUPER D BOXING NEWS
| Rais wa oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO Yassini Abdalla kushoto akisalimiana na bondia Wang Xin Hua kutoka China mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wake na mohamed Matumla utakaofanyika march 27 katika ukumbi wa diamond jubilee katikati ni Rais wa ngumi za kulipwa nchini PST Emanuel Mlundwa Picha na SUPER D BOXING NEWS |
| bondia Wang Xin Hua kutoka China |
Bondia Wang Xin Hua kutoka China akilakiwa na mwenyeji wake Rais wa ngumi za kulipwa nchini PST Emanuel Mlundwa
RSS Feed
Twitter
11:16 PM
Unknown





Luis
Suarez akishangilia vikali baada ya kuishindilia bao la Ushindi Real
Madrid na kuipatia Ushindi wa El Clasico Barcelona wa bao 2-1 leo huko
Camp Nou.
Ronaldo akioneshwa kadi ya njano
Ronaldo akipongezwa..
Ronaldo akishangilia bao lake la kusawazisha
Ronaldo aliisawazishia bao Real
Baadhi ya Wachezaji wa Barca wakimpongeza mwenzao baada ya kuifungia bao
Sergio Ramos aipagawa baada ya Jeremy kuwaua bao la kwanza...
Mpaka ndani ya nyavu za Real
Pepe baada ya kumwangusha chini Neymar
Gareth Bale akituliza mpira kiuzuri!
Cristiano Ronaldo akimiliki mpira.
Bale akiendesha mpira kipindi cha kwanza.
Bale akikimbizwa na Neymar
Kikosi cha Barcelona
Kikosi cha Real Madrid
Raffael Araújo wa Borussia Monchengladbach







Kipa nae kacheza leo!

2-0


Steven Gerrard akioneshwa kadi nyekundu na Mwamuzi.
Taswira yenyewe ya rafu!
Gerrard aliingia muda tu kipindi cha pili kilipoanza na ilipita muda kiduchu
Juan
Mata kaifungia bao la kuongoza Man United kipindi cha kwanza dakika ya
14 dhidi ya Liverpool kwenye Uwanja wa Anfield. Mpaka mapumziko Man
United 1-0 Liverpool, Bao likifungwa na Juan Mata 
Mata leo kawa hatarii
Balaa!
Raha ya bao!


Dakika za mwishoni Martin Skrtel alimkanyaga mguu kipa wa United David De Gea
Rooney alikosa penati dakika ya 90
Jordan Handerson na Daley Blind kwenye patashika.....
Mario chupuchupu na Chris Smalling
Mario alitulizwa na Mashabiki wa Liverpool
Kumbe Mario ulimdaka Chris Mguu!!? muone!!
Patashika zilipoanzia mpaka kujikuta nje ya Uwanja!
Hatari!!
Karibu Anfield, Wakisalimiana Makocha kabla ya Mtanange kuanza
Mashabiki wa Liverpool.
Gwiji la kandanda, Pelle alikuwepo uwanjani hapo kuufuatilia mchezo huo.