
Wafungaji mabao ya Ujerumani
Ujerumandiyo timu ya kwanza
kufuzu kwenye Fainali ya kombe la dunia Brazil 2014, baada ya kuinyeshea
wenyeji Brazil mabao 7-1 katika uwanja wa Estadio Mineirao ulioko Belo
Horizonte.
Umakini wa vijana wa Joachim Low ulikuwa wa
kupigiwa mfano walipoiadhibu Brazil na kuwa timu ya kwanza kuwahi
kushindwa kwa mabao mengi zaidi katika hatua hiyo ya nusu fainali ya
kombe la dunia.Kujeruhiwa kwa Neymar Ijumaa iliyopita ilimlazimu Scolari kubadili mfumo ambao sasa haukuwa na nyota huyo.
Je Scolari atasingizia nini ?

Fernandinho akiuhuzunika baada ya kutingwa bao la 5 na Ujerumani
Na Baada ya nipe nikupe ya kufungua mechi Iliwachukuwa Wajerumani takriban dakika kumi tu za kwanza kupenya safu ya ulinzi ya Brazil iliyokuwa inakosa uzoefu wa Thiago Silva.

Kilio kimetanda Brazil.
Klose kwa ushirikiano na Toni Kroos walifunga bao la tatu na la nne katika kipindi cha dakika moja.
Sami Kheidira alifunga la tano kunako dakika ya 29 kabla ya mchezaji wa akiba Andre Schurrle kufunga mabao ya 6 na ya 7 .
Bao la kufutia machozi la Brazil lilifungwa na Oscar kunako dakika ya mwisho ya mechi hiyo.
00:90 Oscar anaiifungia Brazil bao la kufutia machozi katika dakika ya mwisho ya mechi hii ya kihistoria .
00:70 Andre Schurrleanafanya mambo kuwa 6-0 kwa Ujerumani.
00:70 GOOOOOOOAL

Julio Cesar haamini dunia imempasukia wapi .
00:59 Miroslav Klose anapumzishwa Andre Schurrle anaingia

Bao la Milaslav Klose
00:57
00:54' Kipa Manuel Nuer anainyima brazil bao la kufutia machozi
23:35
23:30 Ujerumani 5-0 Brazil
23:26

Ujerumani 1-0 Brazil
23:24 GOOOOOOAL !Toni KROOOOS
23:20 Thomas Muller anafunga bao la pili la Ujerumani
23:20 GOOOOOOAL
23:20 Ujerumani 2-0 Brazil

Bao la Muller
23:18 Brazil wanaonekana wameduwazwa na bao hilo la Muller
23:15 Kona kuelekea upande wa Ujerumani
23:11 Ujerumani 1-0 Brazil
23:10 Thomas Muller anaiweka Ujerumani mbele 1-0
23:10 GOOOOOOOOOAL

Muller akishangilia bao lake
23:09 David Luiz analazimika kufanya kazi ya ziada kufuatia mashambulizi ya mjerumani
23:05 Ujerumani inashambulia lango la Brazil lakini wapi inazimwa .
23:02 Ujerumani 0-0 Brazil
23:01 Ujerumani haina matatizo ya wachezaji ikilinganishwa na Scolari ambaye amelazimika kuchezesha kikosi bila ya Neymar

Timu ya Ujerumani

Timu ya taifa ya Brazil itakavyokuwa katika mechi hii bila ya Neymar
22:55 Wimbo wa taifa wa Brazil unapigwa hapa uwanjani ,,mashabiki wa Brazil wanaimba
22:54 Wimbo wa taifa wqa Ujerumani unachezwa hapa mbele ya uwanja uliofurika furifuri
22:52Mashabiki wa Brazil na wale wa Ujerumani wakishangilia timu zao kabla ya mechi ya kwanza ya nusu fainali ya kombe la dunia .

Brazil inachuana Ujerumani
22:50Wenyeji wa kombe la dunia Brazil wanachuana na Ujerumani katika mechi ya kwanza ya nusu fainali.
RSS Feed
Twitter
8:33 AM
Unknown





Jezi mpya ya Man United kwa ajili ya msimu mpya 2014/15 Nyumbani
Kocha wa Brazil Luiz Felipe hana hamu!! Hoi!! Kazi ngumu sana kwake na pia kuamini!!
Andre Schürrle akishangilia moja ya bao lake
Nipe tano kaka!! nimetupia mbili!!
Mtanange umemalizika!
Oscar akikumbatiwa na Andre Schürrle!! wanajuana Ligi kuu England
Luiz akipagawa huku akiangaliwa kwa machungu na Mesut Ozil
Luiz Gustavo ni majanga matupu!!!
Ni majonzi matupu!!! Kilio!
Kocha wa Brazil Felipe akiwapoza wachezaji wake kwa kuwapa matumaini!!
Ni Machungu!
Oscar akitupia!
Bao la kufutia machozi lilifungwa na Oscar katika dakika ya 90
Wachezaji wa Germany wakipongezana kwa kuwafunga bao 5-0 katika kipindi cha kwanza

Kipa Never akiokoa shuti langoni mwake
Marcelo akificha uso wake ndani ya Nyavu
Khedira nae alichana nyavu
Taswira!!
Tumevurugwa!!!
Beki wa Brazil David Luiz kulia akiwa hoi!!! kajiinamia akijiuliza!!! kuna nini leo!
Mapumziko 5-0
Klose akishangilia ba lake
Brazil hoi!!!
Toni kroos nae alipachika bao
Kocha wa Brazi Fellipe hana hamu!!! CV hana tena!!
Miroslav Klose
Balaa leo!!! Tutajificha wapi??
4-0!!!!
Klose anavunja Historia na kuweka Historia mpya!!!
Thomas Muller alianza kwa kuwafungulia bao hapa Germany
Wachezaji wa Germany wakipongezana
Mashabiki
Kikosi cha Brazil kilichoanza
Kikosi cha Germany
Wimbo wa Taifa wa Wenyeji Brazil uliimbwa
Kipa wa Germany Manuel Never alianza kwa kudaka shiti kwa kile Brazil walianza mtanange kwa kasi sana
Mashabiki wa Brazil tayari kwa kushangilia timu yao.